Kitengo cha Ununuzi na Ugavi

Majukumu ya kitengo hiki ni:

  1. Kuandaa na kutekeleza mipango ya mwaka ya ununuzi na ugavi. ;
  2. Kusimamia utekelezaji wa sheria na kanuni za ununuzi na ugavi Serikalini;
  3. Kusimamia mchakato wa zabuni kwa kufuata taratibu zilizopo; na
  4. Kutoa taarifa za ununuzi za vipindi mbalimbali ; na
  5. Kuandaa orodha ya vifaa vya ofisi.