Kitengo cha Masoko na Uhusiano na Umma
Majukumu ya kitengo hiki ni kama ifuatavyo:
- Kuanzisha na kutekeleza mikakati ya masoko;
- Kutangaza na kuuzabidhaa na huduma mbalimbali zinazotolewa na Baraza;
- Kuhifadhi kumbukumbu za matukio yote ya Baraza;
- Kupitia na kuhuisha taarifa katika tovuti na majukwaa ya mitandao yote ya kijamii;
- Kupokea maswali, maombi na maoni kutoka kwa wadau mbalimbali; na
- Kufanya utafiti wa masoko ya bidhaa na huduma zinazotolewa na Baraza.
