Kitengo cha TEHAMA na Takwimu

Majukumu ya Kitengo hiki ni kama ifuatavyo: -

  1. Kuandaa na kutekeleza mpango- mkakati wa TEHAMA;
  2. Kutoa ushauri  kuhusu matumizi sahihi ya teknolojia  zenye gharamu naafu;
  3. Kuandaa na kusimamia makavazi ya kielektroni kwa ajili ya kutunza nyaraka na kumbukumbu muhimu za Baraza;
  4. Kutoa huduma endelevu za msaada kwa watumiaji;
  5. Kuunda na kusimamia mifumo ya uhifadhi na urejeshaji wa data za Baraza;
  6. Kushirikiana na Wakala wa Serikali Mtandao ili kuhakikisha uzingatiaji wa sera, sheria na viwango vya TEHAMA serikalini,; na
  7. Kuandaa, kukusanya na kuhifadhi takwimu za Baraza.