Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

Majukumu ya kitengo hiki ni:

  1. Kuandaa mpango wa ukaguzi wa ndani wa Baraza ;
  2. Kuunda na kusimamia utekelezaji wa sera za ukaguzi wa ndani;
  3. Kupendekeza maboresho ya utendaji kazi wa ndani ya Baraza na
  4. Kufanya ukaguzi wa ndani katika maeneo yote ya shughuli za Baraza.
  5. Kushirikiana na Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali wakati wa ukaguzi;
  6. Kusimamia upatikanaji wa majibu ya hoja za ukaguzi.