Sehemu ya Uhasibu
Majukumu ya Sehemu ya Uhasibu ni:
- Kukusanya na kusimamia mapato;
- Kufanya upatanisho wa Kibenki;
- Kuandaa Hesabu za Mwaka na Taarifa zingine za Kifedha;
- Kushughulikia miamala ya fedha taslimu na hundi;
- Kuweka kumbukumbu/kufanya upatanisho wa masurufu yote yanayotolewa;
- Kujibu hoja za ukaguzi;
- Kutoa taarifa ya mapato na matumizi ya Baraza kwa mwezi, robo, nusu na mwaka;
- Kusimamia maandalizi ya kumbukumbu zote za hesabu na kuhakikisha kuwa zimewasilishwa mahali husika;
- Kuandaa na kupitia kanuni za kifedha; na
