Huduma Zitolewazo na BAKITA
Katika kutekeleza madhumuni na majukumu ya Baraza yaliyotajwa katika utangulizi, huduma zifuatazo hutolewa kwa umma:
Kutoa ithibati ya lugha
Ushauri kwa wanafunzi na watafiti
Huduma za Tafsiri na Ukalimani
Usambazaji wa Istilahi za Kiswahili
Vitabu Vilivyowekwa Hivi Karibuni

Istilahi za Kiswahili
Bei:Tsh. 8,000/=

Kiswahili na Utandawazi
Bei:Tsh. 4,000/=

Tafsiri Sanifu
Bei:Tsh. 3,000/=

Kamusi kuu ya Kiswahili
Bei:Tsh. 25,000/=

Kiswahili kwa Wageni
Bei:Tsh. 15,000/=
