Kitengo cha Maktaba naUhifadhi wa Nyaraka
Majukumu ya kitengo hiki ni kama ifuatavyo: -
- Kutunza kaseti, magazeti, video, na filamu za Kiswahili;
- Kuwasaidia watafiti na wanafunzi wa lugha ya Kiswahili;
- Kuandaa na kusimamia taarifa, sera na taratibu za maktaba; na
- Kuanzisha na kusimamia utumiaji wa Mfumo wa Taarifa za Maktaba pamoja na huduma zake.
