Dira na Dhamira

Dira

Kuwa taasisi yenye nguvu kisheria na kiuchumi, na kutambulika kitaifa na kimataifa katika kuratibu na kusimamia maendeleo ya lugha ya Kiswahili.

Dhima

Kukuza, kuendeleza na kuhimiza matumizi ya Kiswahili sanifu na fasaha ndani na nje ya nchi kwa kushirikiana na wadau wengine.