Category Title

  • Hakuna Taarifa kwa sasa
  • Hakuna Taarifa kwa sasa

MAFUNZO YA TAFSIRI

12 Aug, 2026

Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) linawatangazia wadau mbalimbali kushiriki Mafunzo ya Tafsiri.

Lengo la Mafunzo haya.

  • kuwajengea washiriki uwezo na stadi za kitaaluma katika kutafsiri matini mbalimbali.

Walengwa

  • Wadau mbalimbali wenye lugha zaidi ya moja  kutoka taasisi za Serikali, binafsi na watu wote wanaopenda kufanya kazi za tafsiri.

Muda na Mahali

📅 Tarehe: 07-18 Septemba 2026.

📍 Mahali: Ofisi za BAKITA-Kijitonyama

⏰ Muda: 08:00 Mchana– 11:00 Jioni

📞 Mawasiliano:

Simu: +255 657 734 266

Karibuni sana kushiriki mafunzo haya muhimu.