Dira na Dhima
1.0 Dira
Kuwa taasisi yenye nguvu kisheria, kifedha na kutambulika kitaifa na kimataifa katika kuratibu na kusimamia maendeleo ya lugha ya Kiswahili.
2.0 Dhima
Kukuza, kuendeleza na kuhimiza matumizi fasaha na sanifu ya Kiswahili ndani na nje ya nchi kwa kushirikiana na wadau wengine.